#upliftingmusic #christianmusic
OMBA (Mathayo 7:7-11 or Mathew 7:7-11)
Omba omba omba
Verse 1
“Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtapata; bisheni, nanyi mtafunguliwa.
Maana, aombaye hupewa, atafutaye hupata, na abishaye hufunguliwa.
Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba mkate, atampa jiwe?
Au je, akimwomba samaki, atampa nyoka?
Kama basi ninyi, ingawa ni waovu, mwajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, hakika Baba yenu wa mbinguni atafanya zaidi: atawapa mema wale wanaomwomba.
chorus
aombaye hupewa,
atafutaye hupata,
na abishaye hufunguliwa.
Tafuta tafuta tafuta
chorus
aombaye hupewa,
atafutaye hupata,
na abishaye hufunguliwa.
Bisha bisha bisha